MIELEKEO YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TATU NA CHA NNE KUHUSU METHALI KINZANI: UCHUNGUZI KATIKA SHULE ZA UPILI KATIKA KATA YA TOWNSHIP, KAUNTI YA KITUI; KENYA.

Journal Title: International Journal of Advanced Research (IJAR) - Year 2018, Vol 6, Issue 10

Abstract

Ukinzani ni dhana ambayo imefasiliwa kama ubishi au upinzani. Ukinzani katika methali za Kiswahili unaweza kufasiliwa kama unyume wa kimaana unaoletwa na methali ambazo ziko katika jozi moja na zinazotoa maana zilizo kinyume. Methali za Kiswahili zina maana na ili maana hiyo ijitokeze kwa namna inayofaa, kila methali inapaswa kutumika katika mazingira yanayooana na maana ya methali mahususi. Methali zina jukumu la kuonya, kusifu, kukashifu, kuelekeza, kuliwaza na kadhalika. Aidha, katika fasihi ya Kiswahili kuna jozi za methali zilizo na maana kinyume. Kwamba, methali moja inakuelekeza huku na nyingine inakupa mwelekeo unaotofautina na ule wa awali. Katika hali kama hii, mtumiaji lugha na mwanajamii kwa jumla anaweza kupatwa na utata wa mwelekeo atakaoufuata. Methali zinapotoa maana zinazopingana basi utata unaweza kujitokeza haswa ukimsemea nwanajamii methali kisha naye akutajia iliyo na maana kinyume, huenda suluhu ya mnachozungumzia ikakosekana. Hali hii ndiyo ilimsukuma mtafiti akitaka kubainisha namna wanajamii wanavyochukulia kuwepo kwa ubishi katika methali za Kiswahili, ikizingatiwa kwamba methali hizi hutumika kila mara na wanajamii katika mazungumzo, nyimbo na hata katika uandishi.

Authors and Affiliations

Mbusya Mutei Catherine, Chomba Esther

Keywords

Related Articles

EVALUATION OF THE SEALING ABILITY OF BIODENTINE AS A RETROGRADE FILLING MATERIAL.

Aim:The aim of this study was to compare the sealing ability of biodentine with mineral trioxide aggregate (MTA) by dye leakage testusingmethylene blue. Materials and methods:thirty human single-rooted teeth wereprepared...

OVERWEIGHT PREVALENCE AMONG ELEMENTARY SCHOOLS PUPILS IN THE CITY OF IASI, ROMANIA.

This study represents the result of a research on a population aged between 11 and 15 years, respectively pupils attending elementary schools in the city of Iasi (8911). The research aimed at emphasising cases of overwei...

REJUVENATION OF LAGOONS ALONG THE EAST COAST OF INDIA, MANAGEMENT: ANTHROPOCENE APPROACH.

Coastal lagoons are a highly unique productive ecosystem, biologically conserving units located onshore in thickly populated areas from tropics to artic. Each lagoon and coastal wetlands along east coast vary in their ch...

ASSESSMENT OF FIXED ASSET ACQUISITION AND MANAGEMENT PRACTICE INGOVERNMENT SECTORS IN CASE OF DIRE WOREDA.

The purpose of this research was to assess the practice of fixed asset acquisition and management in government sectors in case of Direworeda. The study employed descriptive survey design and used both qualitative and qu...

DOSE TITRATION AND GLYCEMIC CONTROL WITH INSULIN GLARGINE 100 U/ML IN PREVIOUSLY UNCONTROLLED PATIENTS WITH TYPE 2 DIABETES: A 6-MONTH PROSPECTIVE OBSERVATIONAL STUDY IN PRIMARY CARE IN LEBANON.

Objective:the rapid increase in diabetes prevalence in lebanon is alarming, with 14.5% of the population affected in 2013. Early and adequate use of individualized insulin treatment strategies is effective to prevent or...

Download PDF file
  • EP ID EP410319
  • DOI 10.21474/IJAR01/7945
  • Views 43
  • Downloads 0

How To Cite

Mbusya Mutei Catherine, Chomba Esther (2018). MIELEKEO YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TATU NA CHA NNE KUHUSU METHALI KINZANI: UCHUNGUZI KATIKA SHULE ZA UPILI KATIKA KATA YA TOWNSHIP, KAUNTI YA KITUI; KENYA.. International Journal of Advanced Research (IJAR), 6(10), 1374-1381. https://europub.co.uk/articles/-A-410319