UKOPAJI WA LUGHA: ETIMOLOJIA NA MABADILIKO YA MAANA NA UTAMKAJI WA MSAMIATI WA KIARABU KATIKA KISWAHILI.

Journal Title: International Journal of Advanced Research (IJAR) - Year 2019, Vol 7, Issue 9

Abstract

Pindi wazungumzaji wa lugha mbili wanapotagusana na kuingiliana basi moja kwa moja lugha hizo huweza kukopana na kuathiriana kifonolojia, kimsamiati na kisarufi. Waarabu walipofika pwani ya Afrika Mashariki, walikumbana na Waswahili na hapo ndipo Kiswahili kikakopa maneno na sauti za kiarabu ambazo hazikuwepo katika lugha ya Kiswahili. Pili, Kiswahili pia kikachukua baadhi ya sauti za kiarabu na kuzibadili jinsi zinavyotamkwa. Makala haya yanatafiti na kuainisha etimolojia ya baadhi ya maneno ya kiarabu yanayopatikana katika lugha ya Kiswahili na jinsi sauti za kiarabu zilivyokopwa na kubadilishwa na kuswahilishwa.na pili namna baadhi ya maneno yalivyobadilishwa maana asilia baada ya kukopwa kutoka lugha ya Kiarabu. Nadharia za mfumo na semantiki tambuzi za msamiati zilitumika.

Authors and Affiliations

Hamisi Babusa.

Keywords

Related Articles

PRESURGICAL NASOALVEOLAR MOLDING ASSISTED PRIMARY RECONSTRUCTION IN 5-DAY OLD INFANT WITH UNILATERAL CLEFT LIP, ALVEOLUS AND PALATE USING PSIO-J HOOK APPLIANCE A CASE REPORT.

Introduction: Management of cleft patients is quite challenging and controversial. Advances in reconstructive surgery have significantly improved the quality of repair for cleft of the lip, alveolus and palate. This case...

GEO-BIO CHEMISTRY OF WETLANDS IN LATERITE MINES, THE CHILIKA CATCHMENT, ODISHA: GIS STUDY AND XRFSPECTROSCOPY APPRAISAL.

Laterites in Odisha cover ≈7000Km2 (4.5%) surface area of the state. As hard and vesicular, laterite blocks are common local construction materials. The latsol areas are quarried open air and water bodies are formed in t...

CLINICOPATHOLOGICAL STUDY OF NEOPLASTIC LARYNGEAL LESIONS IN A TERTIARY CARE HOSPITAL IN KASHMIR

Background:The larynx is affected by a range of benign and malignant lesions ,on account of its unique position in the upper respiratory tract which makes it vulnerable to many noxious stimuli. This study was undertaken...

COMPARISON OF PRELIMINARY PHYTOCHEMICAL EVALUATION OF KUSHMANDAGIRA SWARASA (JUICE OF SEED CONTAINING PART OF BENINCASA HISPIDA (THUNB.)COGN.) BHAVITHA YASHTIMADHU CHOORNA (GLYCYRRHIZA GLABRA LINN.) AND KEVALA YASHTIMADHU CHOORNA.

Internal administration of Kushmandagira swarasa bhavitha Yashtimadhu choornam is mentioned in the treatment of Apasmara chikitsa of Yogaratnakara where Kushmandagira swarasa is the juice of seed containing part of Benin...

EVALUATION OF THE Q WAVE BY COMPARISON WITH THE RESULTS OF ECHOCARDIOGRAPHY AND CMR AND ANGIOGRAPHY.

Background:Q waves on the electrocardiogram are often considered to be reflective of irreversibly scarred Myocardium due to antecedent transmural myocardial infarction. However, there are some indications that residual v...

Download PDF file
  • EP ID EP654950
  • DOI 10.21474/IJAR01/9635
  • Views 68
  • Downloads 0

How To Cite

Hamisi Babusa. (2019). UKOPAJI WA LUGHA: ETIMOLOJIA NA MABADILIKO YA MAANA NA UTAMKAJI WA MSAMIATI WA KIARABU KATIKA KISWAHILI.. International Journal of Advanced Research (IJAR), 7(9), 101-105. https://europub.co.uk/articles/-A-654950